47 WAPOTEZA MAISHA KATIKA SHAMBULIZI

Boko Haram

Mlipuko katika soko moja katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria umewaua watu wasiopungua 47 na kuwajeruhi wengine 52.

Duru za kijeshi na kiusalama zimesema kuwa mlipuko huo umetokea katika mji wa Sabon Gari.

Wiki chache zilizopita mji huo ulishuhudia mamia ya watu wakipoteza maisha katika mashambulizi yanayohusishwa na kundi la Boko Haram.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment