NEC YATANGAZA MAJIMBO 26 MAPYA YA UCHAGUZI

Jaji Damian Lubuva, Mwenyekiti NEC

Kwa mujibu wa Ibara ya 75(4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania ya mwaka 1977, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina jukumu lakuchunguza mgawanyo wa Jamhuri ya Muungano katika Majimbo yaUchaguzi;
Tume inaweza kutekeleza jukumu hilo mara kwa mara auangalau kila baada ya miaka kumi.

Yafuatayo ndio majimbo mapya....Umaweza kupakua taarifa nzima kwenye kiambatanisho

MAJIMBO YALIYOANZISHWA KWA KIGEZO CHA ONGEZEKO LA
HALMASHAURI

Majimbo 20 yanayoanzishwa kutokana na kuanzishwa kwa
Halmashauri mpya ni:

1. Handeni Mjini
2. Nanyamba
3. Makambako
4. Butiama
5. Tarime Mjini
6. Tunduma
7. Nsimbo
8. Kavuu
9. Geita Mjini
10. Mafinga Mjini
11. Kahama Mjini
12. Ushetu
13. Nzega Mjini
14. Kondoa Mjini
15. Newala Mjini
16. Mbulu Mjini
17. Bunda Mjini
18. Ndanda
19. Madaba
20 Mbinga Mjini

MAJIMBO YALIYOANZISHWA KWA KIGEZO CHA IDADI YA WATU
Majimbo 6 yanayoanzishwa kutokana na idadi ya watu ni:

1. Mbagala – Dar es salaam
2. kibamba – Dar es salaam
3. Vwawa – Mbeya
4. Manonga - Tabora
5. Mlimba - Morogoro
6. Ulyankulu - Tabora


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment