Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa White House, Mjini Dodoma leo Julai 10, 2015, wakati akitoa taarifa juu ya kuchelewa kwa vikao vya CCM ambavyo vilikuwa vianze Julai 8. Nape amesema kuwa vikao hivyo vitakuwa vikianzia saa 4 asubuhi hii, ambapo tano bora na tatu bora ya Wagombea itafahamika leo.
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment