MAMBO YANAYOWAKWAMISHA UKAWA

 


1. Mchakato wa uteuzi: Yaonekana kuwa vyama vinavyounda umoja huo viliingia katika mchakato wa uteuzi bila makubaliano thabiti juu ya namna watakavyomteua mgombe wao wa kiti cha urais.

2. Majimbo: Kuna utata pia kuhusu kugawana majimbo, ambapo chama cha NCCR-Mageuzi kinalalamika kuwa kimepewa majimbo machache sana.

3. Ilani ya Uchaguzi: Haijawa wazi ni ilani ipi ambayo mgombea wa Ukawa ataitumia. Yaonekana kuwa jambo hili litaibua mashaka miongoni mwa vyama husika kutokana na kila chama kuwa na mipango yake ya namna kitakavyofanya pindi kikichaguliwa.

4. Kutoaminiana: Kuna hali ya kutoaminiana na kutiliana shaka miongoni mwa wajumbe wa Ukawa huku kukiwa na hisia kwamba Chadema, ambacho ndio chama kikubwa, kinatumia umoja huo kwa maslahi yake binafsi.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment