ALICHOKISEMA MBUNGE HAMISI KIGWANGALLA KUHUSU SAKATA LA ZITTO KABWE






Kitakachotokea: Zitto Kabwe na wenzake watavuliwa uanachama na CDM. Zitto atafanikiwa kuweka court injunction, atamaliza kipindi chake cha Ubunge salama. Ataungana na wahanga wenzake wa mafukuzo, akina David Kafulila, Hamad Rashid Mohamed, watajiunga na chama kimoja cha upinzani na kitakuwa na nguvu sana! CCM itashinda kwa nguvu baada ya wapinzani wengi kuhama CDM, CUF, NCCR na kuhamia hicho chama kipya!
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment