KIMBUNGA CHAZIDISHA MAAFA MEXICO


 Death toll from hurricane and storm in Mexico stands at 97


Idadi ya vifo kutokana na mvua, mmomonyoko wa udongo na mafuriko nhini Mexico imeongezeka na kufikia 97 wakati kimbunga kipya kikipiga eneo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Taarifa rasmi iliyotolewa inasema kuwa vifo 65 vimetokea katika jimbo la kusini magharibi la Guerrero ambalo limeathirika vibaya sana.

Aidha, taarifa hiyo imesema kuwa watu wapatao 2,000 wamehamishwa, nyumba 21,000 zimekatiwa umeme huku madaraja na barabara katika jimbo hilo zikiharibiwa vibaya sana.

Hayo yanatokea wakati mawimbi mapya ya kimbunga Manuel, ambacho kiliikumba nchi hiyo mapema wiki hii, kikipiga katika jimbo la Sinaloa na kusababisha kijiji kidogo cha wavuvi kukimbiwa na wakazi. 
Idadi ya vifo kutokana na mvua, mmomonyoko wa udongo na mafuriko nhini Mexico imeongezeka na kufikia 97 wakati kimbunga kipya kikipiga eneo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Taarifa rasmi iliyotolewa inasema kuwa vifo 65 vimetokea katika jimbo la kusini magharibi la Guerrero ambalo limeathirika vibaya sana.

Aidha, taarifa hiyo imesema kuwa watu wapatao 2,000 wamehamishwa, nyumba 21,000 zimekatiwa umeme huku madaraja na barabara katika jimbo hilo zikiharibiwa vibaya sana.


Hayo yanatokea wakati mawimbi mapya ya kimbunga Manuel, ambacho kiliikumba nchi hiyo mapema wiki hii, kikipiga katika jimbo la Sinaloa na kusababisha kijiji kidogo cha wavuvi kukimbiwa na wakazi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment