Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.9 limepiga eneo la mashariki mwa Ufilipino na kuchochea onyo la tsunami katika ukanda huo.
Kwa mujibu wa Shirika la Utafitit wa Jiolojia la Marekani, tetemeko hilo kubwa limetokea leo Ijumaa katika kina cha kilometa 33 (maili 20) kwenye majira ya saa 2: 47 Jioni kwa majira ya eneo hilo (12: 47 GMT) kilomita 139 mashariki mwa mji wa Sulangan.
Onyo la kutokea kwa tsunami limetolewa kwa nchi za Ufilipino, Indonesia, Taiwan na Japan kufuatia tetemeko hilo.
0 comments:
Post a Comment