Saudi Arabia imetangaza kuwa inakata uhusiano wa kidiplomasia
na Iran kufuatia tukio la ubalozi wake mjini Tehran kushambuliwa jana wakati wa
maandamano.
Waziri wa mashauri ya kigeni ya taifa hilo, Adel
al-Jubeir, ametoa tangazo hilo huku wizara yake ikisema kuwa inawataka
wanadiplomasia wa Iran kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
Aidha, wizara ya mambo ya nje ya Saudi Arabia imesema
kuwa wafanyakazi wake katika ubalozi wake wameondoka mjini Tehran.
Taarifa zaidi itakujia hapa hapa....
0 comments:
Post a Comment