BOTI YAPINDUKA NA KUUA WATU

File photo of a Philippine Coast Guard ship
Meli ya walinzi wa Pwani ya Ufilipino

Abiria wasiopungua 36 wamepoteza maisha yao na wengine wapatao 20 hawajulikani walipo baada ya boti waliyopanda kupinduka nchini Ufilipino.

Kwa mujibu wa taarifa ya serikali ya nchi hiyo, boti hiyo ilikuwa na abiria 173 na ilikuwa ikitoka katika mji wa Ormoc kwenda katika kisiwa cha Camotes.

Taarifa zinasema kuwa zaidi ya abiria 110 wameokolewa.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment