Ronaldo apiga ‘Hat Trick’ Ureno, Ujerumani yaua 7

CR7 1Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo jana ameifungia timu yake ya taifa ya Ureno magoli matatu ‘hat-trick’ katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Armenia kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya (Euro 2016).
CR7 2Ronaldo alifunga magoli yake dakika ya 29, 55, 58, wakati magoli ya Armenia yalifungwa na Marcos Pizzelli 14 na Hrayr Mkoyan 71.
Ureno ikiongoza kundi lake la I katika harakati za kuwania kufuzu kucheza fainali za Maifa ya Ulaya (Euro 2016)
Ureno ikiongoza kundi lake la I katika harakati za kuwania kufuzu kucheza fainali za Maifa ya Ulaya (Euro 2016)
Matokeo mengine ya mechi zilizopigwa jana;
Ireland 1-1 Scotland
Poland 4-0 Georgia
Gibraltar 0-7 Germany
Finland 0-1 Hungary
Faroe Islands 2-1 Greece
N. Ireland 0-0 Romania
Armenia 2-3 Portugal
Denmark 2-0 Serbia
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment