Waziri wa Ujenzi aanza ziara ya Ukaguzi wa barabara mikoani ya Rukwa na Katavi

Mamia ya wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli mara baada ya kumsimamisha alipokuwa njiani kuelekea mkoani Rukwa kwa ajili ya Ukaguzi wa barabara za mkoa huo.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi hao wa Tunduma.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiagana na wananchi wa Tunduma mara baada ya kuwahutubia na kuwaahidi ujenzi wa barabara ya Tunduma mjini kwa njia nne ili kupunguza kero ya msongamano wa malori katika eneo hilo.
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment