MAN UNITED YAMUUZA TENA ZAHA KWAO



Hatimaye Man United imeachana na biashara ya mkopo na kumuachia kabisa Wilfred Zaha arejee zake Crystal Palace, mapema haikuwekwa wazi kauzwa kwa kiasi gani.


Zaha amejiunga rasmi na timu yake ya zamani ambayo alikuwa akiichezea kwa mkopo baada ya United kumruhusu.


Aliondoka CP kujiunga na Man United kwa kitita cha pauni milioni 15 mwaka 2013, lakini mambo hayakumuendea vizuri OT.
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment