SAMIR NASRI ACHOMOZA MAN CITY IKIPIGA MTU 4-1 ENGLAND

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya England, Manchester City wameibuka leo na kushinda mabao 4-1 dhidi ya Stoke Uwanja wa Britannia huo ukiwa ushindi wa kwanza tangu mwaka mpya. 
Sergio Aguero aliwafungia wageni bao la kwanza dakika ya 33, kabla ya Peter Crouch kuisawazishia timu ya Mark Hughes dakika ya 38, hilo likiwa bao lake la sita msimu huu.
City ikapata bao la pili dakika ya 10 kipindi cha pili kupitia kwa James Milner, kabla ya Aguero kufunga la tatu kwa penalti dakika ya 55 na Samir Nasri la nne dakika ya 76.
Midfeidler Nasri roars towards the crowd after setting up Milner to score as David Silva celebrates behind him
Kiungo, Nasri akishangilia baada ya kuifungia Man City bao la nne
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment