MOTO WAZUKA KATIKA CHUO CHA POLISI MOSHI

Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi Moshi wakijaribu kuzima moto na kuokoa mali zilizokuwa zikiungua katika moja ya stoo ya kuhifadhia vitu mbalimbali, zikiwemo nguo, baada ya kuzuka kwa moto katika jengo hilo. Chanzo cha  moto huo bado kujulikana na hakuna mtu aliyeripotiwa kudhurika. Mkuu wa Chuo hicho Kamishna Msaidizi wa Polisi Matanga Mbushi ameahidi kutoa taarifa kamili baadaye.







Askari wanafunzi wakipambana na moto kwa kila jinsi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment