MH. KIFICHO, AWA MWENYEKITI WA MUDA WA BUNGE LA KATIBA

Pandu Amir Kificho




Mheshimiwa Pandu Amir Kificho ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558 zilizopigwa na kuwaacha kwa mbali Costa Mahalu na Magdalena Rwebangira ambao wamepata kura 84 kila mmoja ambazo ni sawa na 14.79%

Kura saba ziliharibika.


Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba utafanyika siku ya Ijumaa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment