KIMBUNGA CHAUA 3 MAREKANI

 An Ameren Illinois worker walks past homes looking for gas and electrical hazards in Washington, Ill., Sunday, Nov. 17, 2013.


Kwa cuache watu 3 wamepoteza maisha na wengine kadhaa kuejruhiwa baada ya kimbunga kupiga katika maeneo ya kati na kusini mwa jimbo la Illinois nchini Marekani.

Kwa mujibu wa mkuu wa idara ya masuala ya dharura ya jimbo hilo, Jonathon Monken, watu watatu walifariki dunia katika mji wa Washington na kusema kuwa idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka na kuwaonya watu kuchukua hatua mbalimbali za tahadhari.  

Aidha, kimbunga hicho kimesababisha uharibifu mkubwa wa majengo katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo, na watu 37 wameripotiwa kujeruhiwa vibaya sana.


Kimbunga hicho kilifuatia tahadhari mbalimbali zilizokuwa zimetolewa na mamlaka za hali ya hewa na kuwataharidha wakazi kuwa kimbunga hicho kilikuwa kikienda kwa mwendo wa kasi kubwa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment