ALICHOKISEMA MCHUNGAJI PETER MSIGWA






Huu ndio msimaamo wangu hatucheki na WATU wanaosaliti chama, hapa nilipo Nina kesi sita ,nimepigwa mabomu, na WATU wangu walikatwa mapanga kwa ajili ya chama,Leo eti mnanitishia kuwa navunja heshima kwa kukemea usaliti, waulize hao wanaotaka uongozi juu ya Hilo? Ni hivi asiyetaka kuwa rafiki hapa fb poa tu, na anayetaka kunidharau kwa hili niko tayari. Msimaamo wangu ndio huu , kwanza wengi wenu humu fb hamna mchango wowote wa maana kwenye chama..period!!nasubiri mnitukane..siwezi kaa kimya kusema ukweli eti kisa utanidharau au utakejeli au utanitukana ,that will not change me.

CHANZO: Ukurasa wake wa facebook
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment