SERIKALI YABADILISHA VIWANGO VYA UFAULU




Serikali imebadilisha viwango vya ufaulu wa elimu ya kidato cha nne na sita ambapo daraja la sifuri sasa limefutwa na imeongeza daraja la tano kiwango cha alama ya F ambayo sasa itakuwa alama kati ya 0 hadi 20. Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafuinzo ya ufundi Profesa Sifuni Mchome wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mabadililo hayo.

A: 75-100
B+: 60-74
B: 50-59
C: 40-49
D: 30-39
E: 20-29
F: 0-19


CHANZO: Wizara ya Elimu
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment