MKUU WA KITUO CHA POLISI AJERUHIWA KWA RISASI

 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema



Taarifa zilizopatikana leo zinasema kuwa Mkuu wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, Inspekta Nsekelo amejeruhiwa vibaya kwa kupigwa risasi na kundi la watu wasiojulikana waliokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi katika vijiji vya Lolagana na Mwambe baada ya kutokea mapambano baina ya kikundi hicho na polisi.


Chanzo: East Africa Radio
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment