FORBES: PUTIN MTU MWENYE USHAWISHI ZAIDI MWAKA 2013

 


JARIDA maarufu la Forbes la nchini Marekani limemchagua Rais wa Urusi, Vladimir Putin kuwa mtu mwenye ushawishi zaidi duniani akimtangulia rais mwenzake wa Marekani, Barack Obama.

Leo Jumatano, jarida hilo limechapisha orodha ya watu 72 wakiwemo marais na viongozi wa mashirika na taasisi za kimataifa linalowaona kuwa watu wenye ushawishi mkubwa zaidi duniani kwa mwaka 2013.
Katika orodha hiyo, Putin ameshika nafasi ya kwanza akifuatiwa na Obama katika nafasi ya pili na rais wa chin Xi Jinping ameshika nafasi ya tatu.

Aidha, katika orodha hiyo, Papa Francis ameshika nafasi ya nne, akifuatiwa na Kansela wa Ujerumani, Angela Markel, katika nafasi ya tano.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment