AL-SHABAAB WADAI KUHUSIKA NA TUKIO LA NAIROBI



Kundi la AL-SHABAAB la nchini Somalia limedai kuhusika na shambulio baya lililotokea leo mjini Nairobi kwenye maduka ya Westgate.

Shambulizi hilo limewaua watu wapatao 30.


Shambulio kama hilo lilitokea katika Soko la Bakara mjini Mogadishu leo saa 5 asubuhi, muda ule ule wa tukio la Nairobi.







Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment