KISHINDO

Eto'o could be transferred from Anzhi to Arsenal!



Inaelezwa kuwa Arsenal wanafuatilia kwa karibu maendeleo ya mchezaji mmoja kwenye Klabu ya Ligi Kuu ya Urusi ya Anzhi Makhachkala. Inaelezwa kuwa lengo ni kupunguza gharama za kusajili wachezaji wapya. Inaelezwa kuwa Wenger ana matumaini ya kupata saini ya mchezaji wa Kimataifa wa Cameroon, Samuel Eto'o. Hayo ni kwa mujibu wa gazeti la El Confidencial la nchini Hispania.

Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment