NAFASI ZA KAZI

Kituo cha Kimataifa cha Istanbul Youth Centre kinatangaza watu wenye sifa kujaza nafasi zifuatazo:

1. Mwalimu wa kiume wa Lugha ya Kiingereza.

SIFA: Awe na digrii na kuendelea katika fani husika.

MUDA WA KAZI: Siku 3 kwa wiki.

MALIPO: Tsh 300,000 (laki tatu) kwa mwezi

ENEO LA KAZI: Mbezi Beach Makonde, Dar es Salaam.


2. Mwalimu wa kike wa somo la Kompyuta.

SIFA: Awe na digrii na kuendelea katika fani husika.

MUDA WA KAZI: Siku 3 kwa wiki.

MALIPO: Tsh 300,000 (laki tatu) kwa mwezi.

ENEO LA KAZI: Mbezi Beach Makonde, Dar es Salaam.

Kwa maelezo zaidi, piga:

0712 183 047

0712 566 595




Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment