Polisi mjini Cairo, Misri, wanasema wamegundua gengi la watu wanaouza watoto ambalo linafikiriwa kuwa limeuza watoto wachanga 300.
Inadaiwa kuwa wafanyakazi hao wa matibabu wamepasuwa waja wazito wasiotaka kuzaa, na kuwatoa watoto wachanga ambao waliwauza kwa familia zisokuwa na watoto.

0 comments:
Post a Comment