EBOLA YAZUKA TENA

Ugonjwa wa Ebola umezuka tena nchini Uganda miezi miwili tu baada ya nchi hiyo kuambiwa kuwa ugonjwa huo haupo tena.

Thibitisho hilo lilitolewa na Wizara ya Afya nchini, pamoja na Shirika la Afya Duniani.
Watu wawili wameshafariki baada ya kuugua ugonjwa huo huko Luweero, Uganda kati. Walikuwa wakaazi wa kijiji cha Kakuute, na walifariki baada ya kuvuja damu, kutapika, kuhisi maumivu kifuani, na homa.

Wakati huo huo, Uganda inaendelea kupambana na ugonjwa wa Marburg wilayani Kabale na maeneo jirani.
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment