Ugonjwa wa Ebola umezuka tena nchini Uganda miezi miwili tu baada ya nchi hiyo kuambiwa kuwa ugonjwa huo haupo tena.
Watu wawili wameshafariki baada ya kuugua ugonjwa huo huko Luweero, Uganda kati. Walikuwa wakaazi wa kijiji cha Kakuute, na walifariki baada ya kuvuja damu, kutapika, kuhisi maumivu kifuani, na homa.
Wakati huo huo, Uganda inaendelea kupambana na ugonjwa wa Marburg wilayani Kabale na maeneo jirani.
0 comments:
Post a Comment