BABA AUA WATOTO WAKE WANNE

NA HAMED MAZROUY

Habari za kuskitisha zilizotokea nchini Kenya nikuwa Baba mmoja ambaeameweza kufanya tendo la kikatili la kuwauwa watoto wake wanne wakuwazaa mwenyewe kwa kuwanyonga huko katika kijiji cha buti wilayani kisii nchini kenya  na baada ya kutenda tendo hilo  mzee huyo ameamuwa kutoroka na kwenda kusiko juulikana hadi muda huu

Kwa upande wao jeshi la polisi nchini humo limethibitisha kutokea kwa tendo hilo na limesema kwa sasa linaendelea na msako mkali wa kumsaka mzee alietenda kitendo hicho cha kinyama kwa watato wake na jeshi hilo pia limesema  kuwa kwa sasa maiti za watoto hao zimehifadhiwa katika hospitali ya kisii level 5 na mpaka sasa bado haijajulikana ni sababu gani zilizopelekea kwa mzee huyo kutenda kosa hilo
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment