AJALI MBAYA YA GARI ZANZIBAR

NA HAMED MAZROUY


Ajali mbaya ya gari yatokea na kujeruhi wawili ambao ni mama na mtoto wake maeneo ya darajani mjini unguja muda mchache kutoka sasa inasadikiwa kwamba gari hio ilikuwa ikitembea mwendo wa kasi na kugonga mmoja ya nguzo iliopo darajani karibu na stendi ya gari ziendazo shamba ndipo nguzo hio ilipoanguka na kuwaelemnea mama na mtoto wake ambao hawakuwemo kwenye gari hio na kuwasababishia majeraha kadhaa hadi muda huu mama huyo wapo katika hospitali kuu ya mnazi mmoja.

 
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment