RISASI NDANI YA SUPERMARKET ZAGHARIMU MAISHA YA WATU 3

  • NI HUKO NEW JERSEY, MAREKANI
Kwa uchache watu watatu wamepoteza maisha yao kwa kupigwa risasi ndani ya Supermarket huko New Jersey, Marekani.
Polisi mmoja aliliambia shirika la AP kwamba mauaji hayo yalitokea leo Ijumaa katika Supermarket ya Pathmark katika viunga vya Old Bridge. Wakati huo duka hilo lilikuwa limefungwa.
Wafanyakazi kadhaa walikuwa ndani wakatik mshambuliaji alipofanya shambulio hilo majira ya saa 10 kwa majira ya eneo hilo.
Baadhi ya mashahidi wanadai kuwa mshambuliaji alikuwa na silaha na aliwachukua  watu kadhaa kama mateka.
MP/SS
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment