MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju akisisitiza jambo mbele ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wahariri wa vyombo vya habari ulikuwa na lengo la kuwapa fursa pana wahariri kuuliza maswali mbalimbali kuhusu ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda(katikati) na Mhariri wa gazeti la Jamhuri Manyerere Jackton.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju akifurahia jambo na viongozi wa Jukwaa la Wahariri. Neville Meena(katikati) ni Katibu na Absalom Kibanda ni Mwenyekiti. (Picha na Abuu M. Kimario)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju(tai nyekundu) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu n Utawala Bora Bw. Bahame Tom Mukiria Nyanduga wakati alipofanya ziara fupi kwenye ofisi hiyo leo jijini Dar-es- salaam. Wengine kwenye picha ni Makamishna wa tume hiyo na Katibu Mtendaji Bi. Mary Massay(kwanza kulia)
Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment