ATHUMANI IDDI 'CHUJI' WA YANGA AHAMIA AZAM FC



Aliyekuwa kiungo machachari wa timu ya Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' ameachana na timu hiyo na kujiunga na Azam FC.


Athumani Iddi 'Chuji' leo asubuhi ameshiriki katika mazoezi ya Azam FC  ambao ni mabingwa wa Tanzania Bara, katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment