WALICHOKISEMA MOYES NA WENGA BAADA YA MECHI YA MAN UNITED NA ARSENAL




Hiki ndicho walichokisema makocha David Moyes wa Manchester United, na Arsene Wenger wa Arsenal baada ya klabu zao kutoka sare tasa kwenye uwanja wa Emirates:

MOYES:

"Nimefurahi, lakini nilitaka alama zote tatu. Arsenal wana masimu mzuri, hivyo sio sare mbaya kwetu.

"Nemanja Vidic na Rio Ferdinand walikuwa wazuri sana uwanjani. Walionesha uzoefu wao wote.

"Sitaki kuzungumzia bahati. Lakini wakati fulani hutokea”.

ARSENE WENGER:

"Kwa ujumla tulitakiwa kushinda. Ilikuwa mechi yenye nafasi chache.

"Umakini wetu wa kulinda ulikuwa mkali kwa sababu tuliruhusu magoli mengi katika mechi ya Jumamosi. Mwisho upande mmoja ungewesha kunda 1-0.


"Manchester United ni timu nzuri, hivyo unapokwenda mbele wanaweza kukukamata.

"Ni muhimu kujiimarisha zaidi na kujiandaa kwa ajili ya mechi ijayo. Tunataka kubaki katika kombe la Ligi.

"Kwa kweli ubingwa unagombaniwa na timu nyingi na mojawapo inaweza kuunyakua."


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment