WALIOFUNGWA KWA KUANDAMANA KUPINGA ZUIO LA DHAMANA YA SHEIKH PONDA WAACHIWA HURU



Taarifa tulizozipata hivi punde zinasema kuwa wale Waislamu waliofungwa kwa kosa la kuandamana kupinga kitendo cha DPP (MKurugenzi wa Mashtaka) kuzuia dhamana ya Sheikh Ponda leo rufaa yao imetolewa hukumu katika mahakama kuu na kwamba wameshinda kesi na kuachiwa huru wote 52.


Taarifa zaidi itakujia hapo baadaye kupitia hapa hapa Mzizima 24.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment