![]() |
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman |
Rufaa ya mbunge wa jimbo la arusha mjini, Godbless Lema ambayo awali ilikuwa na dosari sasa itasikilwa na jaji Bernard Luanda.
Mabadiliko hayo yamekuja baada ya jaji mkuu wa Tanzania Othman Chande kujitoa kusikiliza rufaa hiyo zikiwa zimebaki sita kusikizwa. Rufaa hiyo inatarajiwa kusikizwa December 4 Mahakama ya rufaa, Kanda ya daR es salaam baada ya kurekebiswa dosali za kisheria ambazo ziligundulika mwanzo.
Kabla Salum Massati,na Natalia Kimaro walikuwa wakiongozwa na jaji Othman chande katika kuisikiliza kesi hiyo .
Lakini kutokana na kujitoa jaji chande pengo hilo litazibwa na jaji Lunda alisema Method Kimomogoro wakili wa lema
“Kisheria hili ni swala la kawaida” alisema wakili wa lema
“Kisheria hili ni swala la kawaida” alisema wakili wa lema
Lakini wakili wa Dk.Batrida Buliani amesema hajapata taarifa yoyote kuwa jaji mkuu amejitoa kwenye kesi hiyo na pia huo sio utaratibu wa mahakama wa kutoa taarifa.
Rufaa hii imekuja baada ya Lema kuvuliwa ubunge April 5, 2012 mahakama kuu kanda ya Arusha
Rufaa hii imekuja baada ya Lema kuvuliwa ubunge April 5, 2012 mahakama kuu kanda ya Arusha
0 comments:
Post a Comment