IFAHAMU IRON DOME: MFUMO WA KINGA WA ISRAEL DHIDI YA MAKOMBORA

"Iron Dome" ni mmojawapo ya kinga nyingi inayomilikiwa na Israel, na inayotumika dhidi ya makombora.

Mfumo huo unatumia rada ili kufuata makombora yanayorushiwa Israel, halafu hufyatua makombora yake ili kuangamiza hayo yanaoyojaribu kupenya.

Mfumo huu ulichukua miaka mingi kujenga na ulianza kutumika mapema 2011.

"Iron Dome" imesifiwa sana na jeshi la Israel katika mashambulizi yanayoendelea huko Gaza.
Kinga hiyo ilikuwa imeshazuia makombora 245 tu kati ya makombora 1,000 toka Gaza u, kulingana na habari za kijeshi.

Hata hivyo inaonekana kwamba wapambanaji wa Gaza wanazidi kuboresha silaha zao.

Share on Google Plus

About mahamoud

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment