Kamati ya Rufaa za Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Nchini
TFF imemrejesha Mgombea wa nafasi ya Urais aliyeenguliwa katika mchakato wa
Uchaguzi wa Klabu ya Simba Michael Richard Wambura.
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa za Uchaguzi ya TFF Wakili
Julius Lugaziya amesema wametengua uamuzi wa kumuengua Wambura uliotolewa na
Kamati ya Uchaguzi ya Simba chini ya Wakili Damas Daniel Ndumbaro!!!
0 comments:
Post a Comment