DRC yaongoza kwa ubora wa Soka Afrika Mashariki

                                       Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya DRC./Picha: Fecofa X

Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ndio timu bora zaidi kwa upande wa Afrika Mashariki.

Kwa mujibu wa viwango vya ubora wa soka wa mataifa mbalimbali uliotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Juni 20, 2024, DRC inashika nafasi ya 61, ikiwa imepanda juu kwa nafasi mbili, na hivyo kuongoza ukanda wa Afrika Mashariki.

Chui hao kutoka DRC walishika nafasi ya nne katika makala ya 34 ya michuano ya AFCON 2023 yaliyofanyika nchini Ivory Coast.

Share on Google Plus

About www.habarika24.blogspots.com

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment