TATHMINI JUU YA MCHEZO WA KUIGIZA ULOFANYWA NA AMERIKA
NA KENYA JUU YA SUALA ZIMA LA TUKIO LA WESTGATE.
TATHMINI YA TUKIO.....
1. Siku ya Pili ya Tukio walokufa 68( Ole lenku waziri
wa mambo ya ndani).Red Cross 69,Siku ya tatu Idadi ikashuka walokufa ni 62,Siku
ya 4 walokufa 61(Rais kenyata)
2. Katika Historia kwa mara ya kwanza Mkuu wa
Polisi,Mkuu wa Majeshi ya Kenya na
Waziri wa Mambo yandani wakihutubia Taifa huku wakiwa
wanalindwa nyuma na ulinzi mkali wa Jeshi kuionesha Media vipi walivokuwa
makini na Tukio.
3. Waziri wa Mambo ya Ndani katika magaidi
walioshambulia hakuna mwanamke,...Waziri wa Mambo ya Nje yupo mwanamke aliehusika
na anaitwa Samantha Lew.
4. Magaidi idadi yao 10-15....Siku ya Pili tushawaua 2,
Siku ya tatu tushawa ua 6, siku ya 4 tumeua magaidi 5, siku ya nne hiyo hiyo
uporesheni ya westgate imemaliza haya magaidi wengine wako wapi walobakia
10....?
5 Siku ya 3 na 4 Vikosi vyetu vya ulinzi vya KDF visha
control jengo lote la west gate, swali sasa hao magaidi waliokuwa wanapigana
nao wako wapi njee na hizo risasi zinazolia zinatokea wapi....?
6. Siku ya 3 Walotekwa nyara wote tushawaokoa....sasa
wako wapi hawana sehemu ya kuishi na mliwambia wasiseme kama mumewaokoa mbona
hawakuoneshwa...?
7. Siku ya 3 Baada ya Vikosi vya Usalama na Jeshi la
Kenya kuli control jengo lote sasa walikuwa wakipigana na nani..Siku ya 2
tushaikamata ghorofa ya 2, 3. Sasa ule moto ghorofa ya kwanza umeashwa vipi...?
0 comments:
Post a Comment