Mbunge Wa Kigoma Kaskazini - zitto zuberi kabwe |
Cheyo kwa kupata kura 13 kati ya 17.Zitto awali alikuwa ni mwenyekiti wa POAC, kamati iliyovunjwa siku chache zilizopita na kuunganishwa na kamati ya PAC.
Binafsi nampongeza Zitto na kumtakia utendaji mzuri kwenye majukumu yake hayo mapya. Taifa linamtegemea.
0 comments:
Post a Comment