Wewe unadhani ukatili wa kijinsia ni kwa wazazi au walezi tu kwenda kwa watoto? Hapana hata kwa baadhi ya wazazi pia inatokea kwa kufanyiwa ukatili na watoto wao ila hushindwa kujitokeza hadharani kusema mbele ya jamii kwa aibu au kufanya hivyo mara chache.
Hii imemtokea kwa mwanamke huyu aitwaye Bobbi kutoka Southampton , Uingereza ambapo anasimulia jinsi alivyofanyiwa ukatili na mtoto wake mwenye umri wa miaka tisa akitaka kumchoma kisu na wakati mwingine kumvizia akitaka kumuua.
0 comments:
Post a Comment