UMOJA WA MATAIFA WARUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA

 United Nations Secretary General Ban Ki-Moon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametangaza kuwa Umoja huo unazitambua ndoa za jinsi moja kwa wafanyakazi wake wote.

Awali Umoja huo ulikuwa ukizitambua ndoa hizo kwa wale tu wanaotoka katika nchi ambazo zinaruhusu ushoga.

Naibu msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq amesema kuwa sera hiyo imeanza kutekelezwa rasmi Juni 26 mwaka huu.


Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, ushoga umeruhusiwa katika nchi 18 pamoja na baadhi ya majimbo ya Marekani na Mexico.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment